Somalia yakubalika rasmi kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Your browser doesn’t support HTML5
Jarida la Wikiendi linaangazia mwanachama mpya wa Afrika Mashariki ambaye ni Somalia amekubalika rasmi akiwa ni mwanachama wa nane wa jumuiya hiyo. Endelea kusikiliza uchambuzi wa kina kutoka kwa waandishi na wataalam mbalimbali katika kanda hiyo.