Wafuasi wa Rais Kenyatta washerekea uamuzi wa Mahakama ya Juu

Wafuasi wa Jubilee wakisheherekea ushindi wa mahakama Nairobi.

Wafuasi wa Jubilee wakiandamana mjini Nairobi

Mkusanyiko mkubwa wa wafuasi wa Jubilee Nairobi

Wafuasi wa Jubilee wakisherekea mjini Mombasa

Wanafuasi wa Jubilee wakifurahia ushindi wa Kenyatta Mombasa

Wafuasi waJubilee wakishangilia ushindi wa Kenyatta Nairobi

Wapinzani wa Jubilee wafunga njia mjin Migori kulalamika uwamuzi wa mahakama kuu

Wapinzani wa uwamuzi wa mahakama ya juu waweka mawe njiani Migori, Kenya

Wapinzani walokasirika na uwamuzi wa mahakama ya juu wakibeba silaha Migori, Magharibi ya Kenya

Mahakama ya Juu yaamua Rais Kenyatta ni mshindi halali