Katika Picha Wafuasi wa Rais Kenyatta washerekea uamuzi wa Mahakama ya Juu 20 Novemba, 2017 Wafuasi wa Jubilee wakisheherekea ushindi wa mahakama Nairobi. Wafuasi wa Jubilee wakiandamana mjini Nairobi Mkusanyiko mkubwa wa wafuasi wa Jubilee Nairobi Wafuasi wa Jubilee wakisherekea mjini Mombasa Wanafuasi wa Jubilee wakifurahia ushindi wa Kenyatta Mombasa Wafuasi waJubilee wakishangilia ushindi wa Kenyatta Nairobi Wapinzani wa Jubilee wafunga njia mjin Migori kulalamika uwamuzi wa mahakama kuu Wapinzani wa uwamuzi wa mahakama ya juu waweka mawe njiani Migori, Kenya Wapinzani walokasirika na uwamuzi wa mahakama ya juu wakibeba silaha Migori, Magharibi ya Kenya Mahakama ya Juu yaamua Rais Kenyatta ni mshindi halali