Sherehe za ufunguzi wa Ligi ya Mpira wa Kikapu BAL Kigali

Your browser doesn’t support HTML5

Sherehe za ufunguzi wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Afrika BAL mjini Kigali, Rwanda ambayo ni wenyeji wa fainali za msimu wa tatu. Michuano ya msimu huu ilianza Machi 11, 2023 na itamalizika Mei 27, 2023,