Hali ilivyokuwa katika mashambulizi ya Paris

Mishumaa, maua yakiwa yameachwa kwenye picha inayosema 'Mimi ni Paris'
 

Maua katika sehemu za mauaji

Mkazi wa Paris akiweka maua sehemu ilipotokea mauaji

Wanajeshi wa Ufaransa wakifanya doria karibu na Eiffel Tower siku moja baada ya shambulizi la Ijumaa

Maua zaidi

Polisi wa Ufaransa wakikagua magari katika mpaka wa nchi hiyo na Italia Jumamosi Novemba 14

Watu wakipita mbele ya mgawa na ukumbi wa maonyesho ambapo mashambulizi yalitokea Ijumaa

Rais Hollande wa Ufaransa akiwa ameongozana na maafisa wa serikali yake

Doria mjini Paris siku baada ya mashambulizi

Watazamaji wajazana katikati ya uwanja wa taifa siku ya mashambulizi baada ya kusikia milipuko