Katika Picha Mawaziri 36 wa Nigeria waapishwa 11 Novemba, 2015 Waziri mpya wa usafiri wa Nigeria akicheka mara baada ya kuapishwa. Mawaziri wapya wa Nigeria wakishiriki katika sherehe za uapishwaji mjini Abuja. waziri wa nishati, kazi na nyumba Babatunde Fashola pamoja na waziri wa habari Lai Mohamed wakila kiapo waziri wa mambo ya ndani wa nigeria Abdulrahaman Bello akipeana mkono na rais wa Nigeria Muhamadu Buhari Waziri wa usafirishaji Sufuri Rotimi akipeana mkono na rais Muhamadu Buhari Waziri wa madini Kayode fayemi akipongezwa na rais wa nigeria Mawaziri kadhaa wa Nigeria waapishwa