Repoti: Benki ya Dunia yalenga kuyasaidia mataifa kupunguza uzalishaji wa gesi chafuzi
Your browser doesn’t support HTML5
Repoti ya Benki ya Dunia yalenga kusaidia nchi mbalimbali kuweka kipaumbele kwenye hatua zenye tija zaidi kwa malengo ya kupunguza uzalishaji wa gesi chafuzi. Ungana na mwandishi wetu mjini Dar es Salaam akikuletea habari kamili...