Maandamano ya kuipinga serikali Bankok

Waandamanaji wanaoipinga serikali wakiandamana hadi makao makuu ya serikali mjini Bankok, Nov. 27, 2013.

Suthep Thaugsuban, waziri mkuu wa zamani akiongoza maandamano kwa siku ya nne mfululizo akiwapungia mkono maelfu ya waandamanaji wanaoipinga serikali mjini Bangkok, Nov. 27, 2013.

Waungaji mkono wakiwapungia mkono waandamanaji wanaoipinga serikali mjini Bankok, Nov. 27, 2013.

wapinzani wa serikali wakipeperusha bendera na kupiga firimbi wakati kiongozi moja wa upinzani kuwahutubia mbele ya wizara ya fedha katika kuipinga serikali Bangkok, Nov. 26, 2013.

Mtawa wa ki-Budha akipiga firimbi wakati wa mkutano wa hadhara nje wa wizara ya mambo ya ndani mjini Bankok Bangkok, Nov. 26, 2013.

Polisi wa kupambana na ghasia wakiwa tayari nyuma ya vizuizi wakati wa mkutano wa upinzani mjini Bangkok, Nov. 26, 2013.

Waandamanaji wakielekea hadi wizara ya fedha mjini Bankok kuipinga serikali, Nov. 25, 2013.

Waandamanaji wanaoipinga serikali wanapambana na polisi katika kizuizi karibu na makao makuu ya serikali Bangkok, Nov. 25, 2013.

Mkutano mkubwa wa upinzani unaomtaka waziri mkuu kujiuzulu huko Bangkok, Nov. 24, 2013.