Dunaini katika picha

Mwanamke akitembea kando ya barabara mnamo siku ambayo hewa imejaa vumbi kutokana na kuchafuka mazingira katika mji wa Changchun, jimbo la Jilin Uchina.

Kiongozi wa upinzani wa Burma Aung San Suu Kyi akisimama na Rais wa bunge la Ulaya Martin Schulz katika Bunge la Ulaya mjini Strasbourg, mashariki ya Ufaransa baada ya kupokea tunzo yake ya haki za binadam ya Sakharov, alotunzwa mwaka 1990 wakati wa ukandamizaji wa kijeshi huko Burma..

Sura inayofanana na Barack Obama na mkewe Michelle zimechongwe kwenye boga na kuashwa kwa mchuma huko Madame Tussauds, New York.

Kijana wa ki-Indonesian akitembea juu ya nyangumi aliyewasili pwani wakati wavuvi wanajaribu kumrudisha baharini kwenye pwani ya Kenjeran, mjini Surabaya,Java mashariki, Indonesia.

Jua linapojitokeza asubuhi huko Calais, Vermont, USA.

Trailer lililopakisa vicha vya lori linanig'inia kwenye daraja huko Kaili, jimbo la Guizhou , China, Oct. 21, 2013. Kufuatana na vyombo habari vya eneo hilo ni kwamba trailer hiyo ilikaribia kuanguka baada ya dereve kupoteza udhibti wa gari , hakuna aliyejeruhiwa.

Mzima moto akijaribu kuzima moto nyuma ya nyumba ya mkazi mmoja huko Faulconbridge ikaribu na milima ya Blue Mountains, Australia.

Expedition 37 crew members aboard the International Space Station releases Orbital Sciences' Cygnus spacecraft from the station's robotic arm.

Autumnal trees are reflected in the water as a fisherman rows his baoat during a sunny day at the Sylvenstein barrier lake in Germany.

People attend a Nokia launch ceremony in Abu Dhabi, United Arab Emirates. Nokia unveiled its first tablet and two large-screen smartphones, known as phablets, at the annual Nokia World event in Abu Dhabi.

Groom Kanjeng Pangeran Haryo Notonegoro (2nd R) and his bride Gusti Kanjeng Ratu Hayu (2nd L), the daughter of Sultan Hamengkubuwono X, walk after their wedding ceremony at Kraton in the old city of Yogyakarta, Indonesia.

Belarus Interior Ministry soldiers take part in the qualifying examinations for the "Madder Beret" headdress outside Minsk. Soldiers, who pass the examinations, receive a burgundy-colored beret signifying they have been qualified as members of the Belarus Interior Ministry elite Special Forces.

People walk in downtown Grozny, capital of Chechnya, southern Russia, as the Central Mosque is reflected in the water, Oct. 21, 2013.

A Pakistani woman carrying a bed on her head and holding a rooster, walks back to her home through a brick factory on the outskirts of Islamabad, Pakistan.

Bangladesh’s Nasir Hossain avoids a bouncer on the second day of the second cricket test match against New Zealand in Dhaka, Bangladesh.