Obama atembelea jumba la makumbusho la Bob Marley

방글라데시 다카에서 어부들이 강바닥에 대나무를 꼽고 있다. 대나무 가지에 미끼를 달아서 물고기를 잡는다.

Rais wa Marekani Barack Obama, akishuka kutoka ndege yake akifuatana na mbunge Yvette Clarke,wa chama cha Republican, (kati kati) pamoja na waziri wa nishati Dr Ernest Moniz, Walipowasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Norman Manley, Jamaica April 8, 2015.

Rais wa Marekani Barack Obama, akipokelewa na Waziri Mkuu wa Jamaica Portia Simpson-Miller, na Gavana Mkuu wa Jamaica Patrick Allen, (kulia), kwenye uwanja wa ndege wa Norman Manley mjini Palisadoes, Jamaïca.

Rais wa Marekani Barack Obama, akipokelewa na Waziri Mkuu wa Jamaica Portia Simpson-Miller, na Gavana Mkuu wa Jamaica Patrick Allen, (kulia), kwenye uwanja wa ndege wa Norman Manley mjini Palisadoes, Jamaïca.

Rais Barack Obama atembelea jumba la makumbusho la Bob Marley akipewa maelezo na afisa wa jumbe hilo Natasha Clark (L) mjini Kingston, Jamaïque, ziara hiyo haikuwa imepangwa kabla, le 8 Avril 2015.

Rais Barack Obama atembelea jumba la makumbusho la Bob Marley akipewa maelezo na afisa wa jumbe hilo Natasha Clark (L) mjini Kingston, Jamaïque, le 8 Avril 2015.

Le président américain Barack Obama visite le musée Bob Marley avec une guide, Natasha Clark, le mercredi 8 Avril, 2015 Kingston, à Jamaïque. Le Conseiller adjoint la sécurité nationale Ben Rhodes se tient à l’arrière.

Le président américain Barack Obama visite le musée Bob Marley avec une guide Natasha Clark, le mercredi 8 Avril, 2015 Kingston, à Jamaïque.

Rais Barack Obama akimaliza matembezi amabyo hayakupangwa katika  jumba la makumbusho la Bob Marley akifuatana afisa wa jumbe hilo Natasha Clark (L) mjini Kingston, Jamaïque, le 8 Avril 2015.

Rais Barack Obama, akifuatana na waziri mkuu wa Jamaica Portia Simpson-Miller, atia saini kitabu cha dhahabu cha wageni wa heshima kabla ya kuanza mazungumzo juu ya uhusiano kati ya nchi zao mbili mjini Kiingston.April 9, 2015.

Le message et la signature apposés par le président Barack Obama sont perçus dans le livre d'or lors de sa visite à la Chambre de la Jamaïque, le jeudi 9 Avril, 2015 Kingston, Jamaïque.

Le président Barack Obama pose pour une photo avec le Premier ministre jamaïcain Portia Simpson-Miller, avant leur rencontre bilatérale à la Maison de la Jamaïque, le jeudi 9 Avril, 2015 Kingston, en Jamaïque.

Rais Barack Obama atembelea Jamaica, akiwa kiongozi wa kwanza wa Marekani kutembelea taifa hilo tangu rais Ronald Regan kutembelea huko 1982.