Mkutano wa Marekani kati ya Joe Biden na Xi Jingping

Your browser doesn’t support HTML5

Wiki hii tunaangazia Rais wa Marekani Joe Biden na mwenzake wa China Xi Jingping ambao Jumatano wamefanya kikao nje kidogo ya mji wa San Francisco, California pembeni mwa mkutano wa viongozi wa Asia waliokuwa kwenye kongamano lao la kila mwaka la APEC.