Mambo yaliyojiri baada ya Bobi Wine kushikiliwa na vyombo vya usalama Uganda
Wakenya wafanya maandamano ya kupinga kushikiliwa kwa Robert Kyagulanyi- Bobi Wine katika jela ya kijeshi nchini Uganda
Wakenya wakiandamana mjini Nairobi.
Wakenya wakionyesha mshikamano na wananchi wa Uganda kupinga kushikiliwa kwa Robert Kyagulanyi- Bobi Wine.
Wakenya wafanya maandamano ya kupinga kuwekwa kizuizini kwa Robert Kyagulanyi- Bobi Wine
Mbunge maarufu wa upinzani wa Uganda Robert Kyagulanyi anayejulikana kama Bobi Wine (C) akiwa anaelekea katika mahakama ya kijeshi, Gulu, kaskazini mwa Uganda, Agosti 23, 2018.
Mbunge maarufu wa upinzani wa Uganda Robert Kyagulanyi anayejulikana kama Bobi Wine (C) akiwa katika mahakama ya mwanzo huko Gulu, kaskazini mwa Uganda, Agosti 23, 2018
Mbunge wa Kyadondo Robert Kyagulanyi amefunguliwa mashtaka upya Alhamisi na serikali ya Rais Yoweri Museveni nchini Uganda kwa kutuhumiwa kuhusika na vitendo vya uhaini.