Malalamiko na ghasia za Kiev, Ukraine

Mtu akibeba bendera ya Ukraine, huku moto ukiendelea kuwaka nyuma yake kutokana na ghasia zinazoendelea mjini Kiev 

Waandamanaji wanakimbia kutokna gruneti zinazofyetuliwa wakati wa mapambano na polisi kati kati ya Kiev, Jan 22, 2014

Afisa wa polisi anampiga mwandamanaji wakati wa mapambano mjini Kiev

Polisi wa kupambana na ghasia wanamburura muandamanaji anaeunga mkono Umojan wa Ulaya

Waandamanaji wanaoiunga mkono Umoja wa Ulaya wsanapambana na polisi.

Waandamanaji wanaounga mkono Ukraine kujiunga na Umoja wa Ulaa wanajificha nyuma ya basi linalowaka moto

Waandamanaji watia moto magurudumu ya gari kuwazuia polisi kuwafikia kati kai ya Kiev