Kenya: Watu wa jamii ya Wapemba waeleza matatizo yanayowakabili

Your browser doesn’t support HTML5

Watu wa jamii ya Wapemba nchini Kenya waungana katika harakati za kupata uraia wa Kenya.

Kiongozi wao anaeleza kuwa wanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo kutoweza kumiliki mali zao wao wenyewe. Ungana na mwandishi wetu wa Mombasa akikuletea historia na juhudi za Wapemba katika mchakato wa kupata uraia na matatizo wanayokabiliwa nayo.