Makumbusho ya wapiganaji wa Mau Mau Kenya
Sanamu ya makumbusho ya wapiganaji wa Mau Mau huko Kenya
Sanau ya makumbusho ya wapiganaji wa Mau Mau miliyogharimiwa na Uingereza mjini Nairobi.
Katibu Mkuu wa chama cha wapiganaji wa Mau Mau, Gitu wa Kahengeri, (kushoto) akiwa pamoja na Balozi wa Uingereza Kenya Christian Turner, wakihudhuria kuzinduliwa uwanja wa makumbusho wa wapiganaji wa Mau Mau mjini Nairobi, Kenya Jumamosi, Sept. 12, 2015
Kenya Mau Mau Memorial
Kenya Mau Mau Memorial