Baada ya wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC nchini Kenya kuondoka ofisini, kazi ilo mbele sasa ni ya kuwatafuta wajumbe wengie watakaohudumu kwenye Tume hiyo.
Baada ya wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC nchini Kenya kuondoka ofisini, kazi ilio mbele sasa ni ya kuwatafuta wajumbe wengine watakaohudumu kwenye Tume hiyo.
Your browser doesn’t support HTML5
Harrison Kamau wa VOA aliweza kuzungumza na Profesa Nyaigoti Chacha kutoka Nairobi akitaka kujua kutoka kwake mikakati inayotumika kuwatafuta wajumbe wapya wa Tume hiyo.
Kwa habari zaidi bonyeza usikie.