Mtu mmoja alipigwa risasi na kuuawa nje ya ubalozi wa Marekani mjini Nairobi, nchini Kenya, siku ya Alhamisi.
Vyombo vya habari nchini Kenya viliripoti kuwa mtu huyo ni wa asili ya Kisomalia na anashukiwa kuwa mwanamgambo wa Al-Shabaab.
Huyu hapa mwandishi wa Sauti ya Amerika mjini Nairobi, Kennedy Wandera..
Your browser doesn’t support HTML5
Kenya embassy shooting