Je, unazifahamu nchi tano za Kiafrika ambazo Benki ya Dunia imetabiri uchumi wake utakua 2023?

Your browser doesn’t support HTML5

Benki ya Dunia imetoa makadirio yake ya kukua kwa uchumi katika nchi tano za Kiafrika. Nchi hizo ni Kenya, Nigeria, Ivory Coast, Senegal na Cameroon ambazo ziko barani Afrika. Angalia namna kutakavyokuwa na mafanikio na pia baadhi kurudi nyuma katika uchumi wa nchi hizi.

Benki ya Dunia imetoa makadirio yake ya kukua kwa uchumi katika nchi tano za Kiafrika. Nchi hizo ni Kenya, Nigeria, Ivory Coast, Senegal na Cameroon ambazo ziko barani Afrika. Angalia namna kutakavyokuwa na mafanikio na pia baadhi kurudi nyuma katika uchumi wa nchi hizi.