Bodi ya kitaifa ya kusimamia filamu Nigeria yakerwa na filamu 'Ife'

Your browser doesn’t support HTML5

Bodi ya kitaifa ya kusimamia filamu nchini Nigeria imetishia kumchukulia hatua mtengenezaji filamu inayoitwa 'Ife' ambapo inadai kuwa inahamasisha ushoga kitendo ambacho ni kinyume cha sheria.