Mkutano wa viongozi wa AU

Rais Ellen Johnson-Sirleaf wa Liberia awasili kuhudhuria sherhe za ufunguzi wa mkutano wa 22 wa viongozi wa Umoja wa Afrika AU, mjini Addis Ababa, Jan. 30, 2014.

Ukumbi mkuu wa Mkutano kwenye makao makuu ya AU wakati wa sherehe za ufunguzi wa mkutano wa 22 katika mji mkuu wa Ethopia, Addis Ababa, Jan. 30, 2014.

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ahudhuria mkutano wa 22 wa viongozi wa AU Addis Ababa, Jan. 30, 2014.

Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia ahudhuria mkutano wa viongozi wa AU Addis Ababa, Jan. 30, 2014.

Sudan President Omar al-Bashir at the opening ceremony of the 22nd Ordinary Session of the African Union summit in Addis Ababa, Jan. 30, 2014.