Wafghanistan wapiga kura kumchagua kiongozi mpya

Rais Hamid Karzai wa Afghanistan akionesha cheti cha kura kabla ya kuitia ndani ya sanduku ya kura katika shule ya sekondari ya, karibu na Ikuklu,  Kabul, April 5, 2014.

Wapigakura wanaume wa Afghanistan wasimama kwa mstari kupiga kura katika kituo cha Herat.

Wanawake wa Afghanistan wasimama kwa mlolongo wakisubiri kupiga kura katika kituo cha kura cha Kabul.

Polisi akisimama nje ya kituo cha kupiga kura mjini Kabul  wakati wafghanistan wasimama kwa mstari kushiriki katika uchaguzi wa rais. 

An Afghan policeman searches men before they enter a polling station in Adraskan district, Herat province.

Mwanamke wa kiafghanistan atizama majina wa wagombea kiti cha rais katika cheti chake cha kupiga kura, wilaya ya Adraskan. jimbo la Herat.

An Afghan man dips his finger into ink before casting a vote at a polling station in Jalalabad, east of Kabul.

An elderly woman shows another woman her inked finger after casting her ballot at a polling station in Kabul.