AFCON 2019 MISRI : Wapenzi wa Soka kutoka nchi mbalimbali za Afrika

Mke wa Rais mstaafu wa Tanzania Salma Kikwete akiwa miongoni mwa waliosafiri kushuhudia AFCON na kuhamasisha timu ya Tanzania.

Mchezaji wa zamani wa soka wa Somalia Mohammad Mahmoud akihudhuria michuano ya AFCON

Kazi na dawa ; Kiburudisho muruwa cha chai nchini Misri

Mashabiki wa Misri wakiwa katika mavazi yao asili

Mashabiki wa timu ya Tanzania wakiingia uwanjani kushuhudia pambano la Senegal na Tanzania

Mtanzania mkereketwa aliyekuja Misri kushuhudia michuano ya AFCON

Mtanzania mkereketwa aliyekuja Misri kushuhudia michuano ya AFCON

Mshabiki wa Senegal aliyekuja Misri kushuhudia michuano ya AFCON

Jamii ya Wasomali wanaoishi mji wa Nasr, Misri waliojitokeza kushuhudia michuano ya AFCON

Vijana wa Kisomali wanaoishi katika mji wa Nasr, Misri

Mshabiki wa timu ya Kenya aliyekuwa uwanjani nchini Misri kushuhudia michuano ya AFCON

Mshabiki wa Kenya akishangilia uwanjani nchini Misri

Misri ni nchi yenye utamaduni wake yakiwemo mavazi na vinywaji. Lakini katika michuano ya kombe la AFCON watu wa kutoka mataifa mbalimbali pia wanashiriki katika kuhamasisha wachezaji kutoka nchi zao.