AFCON 2019 MISRI : Mpangilio wa Raundi ya 16

Your browser doesn’t support HTML5

Mechi za kwanza Ijumaa zitakuwa baina ya wawakilishi pekee wa Afrika Mashariki, Uganda, dhidi ya Senegal.
Raundi ya pili ya fainali za kombe la mataifa ya Afrika, AFCON, itaanza Ijumaa baada ya kumalizika kwa raundi ya kwanza Jumanne na timu 16 kufuzu raundi ya pili zikiongozwa na wenyeji Misri.