AFCON 2019 MISRI : Mashabiki wa Algeria wakifurahia ushindi

Your browser doesn’t support HTML5

Mitaa ya Cairo ilikuwa imefurika mashabiki wa timu ya Algeria wakisheherekea ushindi wao baada ya kuifunga Nigeria 2-1.
Algeria imefanikiwa kuingia fainali na itacheza siku ya Ijumaa