Waziri wa uchukuzi wa Kenya Ali Chirau Mwakwere amepoteza kiti chake cha ubunge huko Matuga baada ya mahakama mjini Mombasa kumkuta na makosa yanayohusiana na uchaguzi.
Waziri wa uchukuzi wa Kenya Ali Chirau Mwakwere amepoteza kiti chake cha ubunge huko Matuga baada ya mahakama mjini Mombasa kumkuta na makosa yanayohusiana na uchaguzi.