Raia watano wa Marekani waliokamatwa kwa kushukiwa magaidi huko Pakistan wanasema hawana hatia na kwamba wanateswa na wachunguzi wa Marekani na polisi wa Pakistan huko kizuizini.
Raia watano wa Marekani waliokamatwa kwa kushukiwa magaidi huko Pakistan wanasema hawana hatia na kwamba wanateswa na wachunguzi wa Marekani na polisi wa Pakistan huko kizuizini.