Mapigano makali kati ya waasi wa Somalia na walinda amani wa Umoja wa Afrika yamewauwa watu 12 leo na kuwajeruhi zaidi ya 20 wengine.
Mapigano makali kati ya waasi wa Somalia na walinda amani wa Umoja wa Afrika yamewauwa watu 12 leo na kuwajeruhi zaidi ya 20 wengine.