Shirika la chakula la UN linasema linasimamisha upelekaji wa chakula kusini mwa Somalia kwa sababu ya mashambulizi ya hivi karibuni na vitisho vinavyotolewa na makundi yenye silaha.
Shirika la chakula la UN linasema linasimamisha upelekaji wa chakula kusini mwa Somalia kwa sababu ya mashambulizi ya hivi karibuni na vitisho vinavyotolewa na makundi yenye silaha.