Waziri Wetang'ula asema Kenya itaingilia mgogoro wa Somalia. Hakutoa maelezo zaidi kwa waandishi wa habari leo kama hatua hizo zitakuwa za kijeshi ama la.
Waziri Wetang'ula asema Kenya itaingilia mgogoro wa Somalia. Hakutoa maelezo zaidi kwa waandishi wa habari leo kama hatua hizo zitakuwa za kijeshi ama la.