Mashahidi wasema jeshi la Ethiopia laingia Somalia, lapiga kambi karibu na mji wa Beledweyne. Kesi ya watu 11 wanaoshutumiwa kuuwa Albino yaanza Burundi leo.
Mashahidi wasema jeshi la Ethiopia laingia Somalia, lapiga kambi karibu na mji wa Beledweyne. Kesi ya watu 11 wanaoshutumiwa kuuwa Albino yaanza Burundi leo.