Shirika la Afya duniani lasema kesi 1,000 za kirusi cha H1N1 zimethibitishwa katika nchi 20 duniani. Mahakama yakataa ombi la kufutiwa kesi Charles Taylor.
Shirika la Afya duniani lasema kesi 1,000 za kirusi cha H1N1 zimethibitishwa katika nchi 20 duniani. Mahakama yakataa ombi la kufutiwa kesi Charles Taylor.