Dunia yasherehekea Siku ya Kiswahili Duniani

Tafrija ya kilele cha siku ya Kiswahili Zanzibar

Rais Hussein Mwinyi apokea tunzo ya Siku ya Kiswahili Dunania

Maonyesho ya siku ya Kiswahili, Fort Jesus Mombasa

Sherehe za siku ya Kiswahili Mombasa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Philip Mpango katika maadhimisho ya siku ya kiswahili duniani

Maonyesho ya siku ya Kiswahili Mombasa

Audrey Azoulay, Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO akitoa ujumbe juu ya Siku ya Kiswahili Duniani.