Marekani yaipongeza Nigeria kwa uchaguzi mkuu na kutoa wito wa utulivu

Your browser doesn’t support HTML5

Marekani siku ya Jumatano iliipongeza Nigeria kwa kuchaguliwa kwa mgombea urais wa chama tawala Bola Tinubu, huku ikitoa wito wa utulivu huku kukiwa na shutuma za wizi wa kura na wasiwasi juu ya hitilafu za kiufundi.