Afrika Kusini imetangaza 'hali dharuraya' kutokana na upungufu wa huduma za umeme

Your browser doesn’t support HTML5

Rais Cyril Ramaphosa alitangaza kwamba sheria hiyo itaanza kutekelezwa mara moja wakati alipokua anatoa hotuba juu ya hali ya taifa siku ya Alhamisi huku akionya kwamba upungufu wa umeme umelitumbukiza taifa hilo lenye viwanda vingi barani Afrika katika" hali inayo tishia uchumi wetu".