Timu ya ngazi ya juu ya Ethiopia imeelekea mekele kwa mazungumzo na waasi ya utekelezaji wa makubaliano ya amani

Your browser doesn’t support HTML5

Miongoni mwa vipengele vya makubaliano hayo ni kuweka utaratibu wa ufuatiliaji na utekelezaji ili pande zote mbili ziweze kuwa na imani kuwa sitisho la mapigano linaheshimiwa na ukiukwaji wowote utashughulikiwa. Maelfu ya watu wamekufa katika miaka miwili ya umwagaji damu kwenye jimbo la Tigray