Takribani viongozi 50 wa Afrika wapo mjini Washington DC kwa siku tatu kwa mkutano wa viongozi wa Marekani na Afrika.

Your browser doesn’t support HTML5

Kulingana na White House mwenyeji wa mkutano Rais wa Marekani Joe Biden anatarajiwa kuangazia uhamasishaji wa demokrasia na haki za binadamu, amani, uchumi, elimu ni miongoni mwa masuala makuu