Matokeo zaidi yanaendelea kutoka katika uchaguzi wa katikati ya muhula nchini Marekani unaofuatiliwa kujua nani atafanikiwa kudhibiti bunge

Your browser doesn’t support HTML5

Udhibiti wa baraza la Seneti na baraza la wawakilishi nchini Marekani bado haujakamilika wakati kura zikiendelea kuhesabiwa kutoka uchaguzi wa katikati ya muhula uliofanyika Novemba 8