Viongozi wa G7 wazindua mradi wa dola 600B wa ufadhili wa miradi katika nchi maskini duniani

Your browser doesn’t support HTML5

Katika kile kinachoonekana kama mkakati wa kushindana na China katika ufadhili wa miradi ya miundombinu ya nchi maskini duniani, kundi la G7 limeanzisha mradi wa dola bilioni 600 ukilenga miradi mbalimbali katika nchi hizo.