Mwana Mfalme Mohammed bin Salman (MBS) amekutana rasmi na viongozi wa Misri, Jordan na Uturuki ili kuimarisha mahusiano ya usalama ulioyumba

Your browser doesn’t support HTML5

Wachambuzi wanasema hii inaashiria pia azma ya MBS kutambuliwa katika jukwaa la ulimwengu na kumaliza miaka kadhaa ya kutengwa kimataifa kufuatia mauaji ya mwaka 2018 ya mkosoaji wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi mjini Istanbul, ambapo mkuu huyo amekanusha kuhusika binafsi