Kongamano la Waislamu wa Marekani na Canada ICNA lafunguliwa Baltimore

Kikao cha ufunguzi waKongamano la waislamu Icna Marekani mjini Baltimore, Maryland, Mei 28, 2022

wajumbe wakielekea kwenye vikao mbali mbali wakati wa kongamano la ICNA mjini Baltimore, Maryland

Kibanda cha Shirika la UMR, linalotetea haki za watoto na kuwasidia watoto wanaoteswa na kufanyishwa kazi.

Kibanda cha kuuza maandishi ya kidini yaliyochongwa kwenye mbao kwenye kongasmano la ICNA

Wajumbe wahudhuria kikako kuhusu masuala ya familia kwenye kongamano la ICNA

Wanafunzi wa mradi wa kujifunza kujenga Robot wakati wa mkutano wa ICNA

Ukumbi wa soko la biashara kwenye kongamano la Waislamu, ICNA mjini Baltimore, Maryland Mei 28, 2022

Mjadala kuhusu familia katika uislamu kwenye kongamano la ICNA, Baltimore, Maryland Mei 28 2022

Kibanda cha kuuza vito kwenye kongamano la waislamu ICNA mjini Baltimore

Ukumbi wa vibanda vya biashara kwenye kongamano la waislamu ICNA

Zaidi ya watu elfu 22 wahudhuria kongamano kubwa kabisa la waslamu wa Marekani na Canada, linalofanyika kila mwaka na kusimamiwa na taasisi ya ICNA