Mtuhumiwa wa shambulio la Buffalo, New York afunguliwa mashtaka
Your browser doesn’t support HTML5
Kijana mzungu mwenye umri wa miaka 18 amefunguliwa mashtaka Jumamosi jioni baada ya kuwauwa watu 10 na kuwajeruhi wengine watatu katika duka la chakula kwenye mtaa wa watu weusi mjini Baffalo, New York.