Makubaliano ya kuwapa hifadhi wahamiaji nchini Rwanda yaibua utata

Your browser doesn’t support HTML5

Makubalinao kati ya Uingereza na Rwanda ambapo wahamiaji wanaojaribu kuingia nchini Uingereza watahamishiwa kwenye taifa hilo la Afrika Mashariki yameibua hisia mseto huku baadhi ya wadau, wakiwa ni pamoja na watetezi wa haki za binadamu, wakiyakosoa vikali.