Zaidi ya watu 30 waliuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na washambuliaji wanaoshukiwa wanajihadi katika mkoa wa Ituri huko DRC

Your browser doesn’t support HTML5

Waasi wa ADF waliwashambulia raia katika vijiji viwili karibu na Komanda umbali wa kilomita 75 na mji wa Bunia alisema David Beiza mkuu wa shirika la Msalaba Mwekundu katika wilaya ya Irumu mkoani Ituri katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC)