Bajeti ya Kenya yakosolewa kwa "kutoangazia vilivyo" maslahi ya wanawake na vijana

Your browser doesn’t support HTML5

Msanii Angel Mary Kato ambaye alitaka kujitoa uhai mara nne anazungumza na Sauti ya Amerika kuhusu changamoto alizopitia na nini anachofanya ili asijipate katika hali kama hiyo tena, huku nayo bajeti ya Kenya ikikosolewa kwa kutoangazia vilivyo maslahi ya wavijana na wanawake.