Ukraine: Mwanaharakati wa Poland awapokea wanafunzi wa Afrika

Your browser doesn’t support HTML5

Wanafunzi kutoka nchi za Afrika waliokuwa Ukraine wamepokelewa na mwanaharakati wa haki za Binaadamu raia wa Poland mwenye asili ya Nigeria, Dr.Magreth Ohia Novak ili kuwasaidia kuanza maisha mapya pamoja