Matukio ya dunia katika picha Oktoba 3, 2021
Joyciline Jepkosgei wa Kenya kwenye jukwa na wenzake wa Ethiopia katika mbiyo za Marathon za London
Joyciline Jepkosgei wa Kenya ashinda mbiyo za wanawake za Marathon za London 2021
Moto na moshi ukitanda angani katika makazi kwenye kisiwa cha Guanja, Hondurus.
Wanajeshi wa Yemen watiifu na Baraza la Mpito la Kusini STC wapiga doria mjini Aden
Nyumba zilizoungua katika kisiwa cha Guanaja, Hondurus
Maelfu ya wageni watembelea Maonesho ya Dunia Expo 2020 mjini Dubai.
magari yaliyoachwa barabarani kutokana na mafuriko mjini Muscat kufuatia kimbunga Shaheen
Kumaizika kwa mbiyo za marathon za London 2021
Mafuriko makubwa yatokea Muscat, Oman kufuatia kimbunga Shaheen.
Maandamano kumunga mkono rais wa Tunisia Kais Saied
Sisay Lemma wa Ethiopia asherehekea ushindi wake kwenye Marathon za London 2021.
Mwanamke aliyejifunika na bendera ya Brazilian anaimba wakati wa maandamano kumpinga rais Jair Bolsonaro mjini Rio de Janeiro, Brazil, Oct. 2, 2021.