Maisha ya kisiasa ya Maalim Seif Shariff Hamad kiongozi wa upinzani Zanzibar

  • Abdushakur Aboud

Seif Shariff mgombea wa CUF ahutubia kampeni kabla ya wafuasi wake kupambana na wa CCM 2005

Seif Shariff kiongozi wa upinzani akiwashukuru wafuasi wakati wa kampeni yake ya mwisho 2020

Seif Shariff kiongozi wa ACT akipiga kura wilaya ya Garagara, Zanzibar Oktoba 28, 2020

Maalim Seif Sharif akitoka ofisini kwake Stone Town baada ya kuachiliwa huru Oct 27, 2020

Wafuasi wa CUF wakionesha alama ya ushindi mbele ya bango la Seif Shariff Stone Town 2005

elf Sharif (kulia0 na viongozi wangle wa CUF Ibrahim Lipumba (kati) na Juma Duni (kulia) 2005

Kiongozi wa CUF Seif Sharif Hamad akizungumza na waandishi baada ya matokeo kufutwa 2015

Seif Shariff akimsalimia mfuasi wake kwenye makao makuu ya CUF Darajani baada ya kushindwa 2005

Maalim Seif Shariff Hamad kiongozi wa upinzani wa Zanzibar kwa karibu miongo mitatu, afariki akiwa na umri wa miaka 77 baada ya kuugua ugonjwa wa Covid-19.