Uchaguzi Mkuu Burundi wafanyika wakati janga la corona likiendelea

Mgombea mkuu wa upinzani Agathon Rwasa na mkewe Annociate wakisubiri kupiga kura mjini Ngozi,

Evariste Ndayshimiye, mgombea kiti cha urais wa chama tawala cha CNDD-FDD Gitega, Burundi, Mai 20

Mpiga kura anashiriki katika uchaguzi mkuu Burundi, kijijini Ngozi, Mei 20, 2020

Polisi wakimsindikiza Agathon Rwasa, kiongozi wa upinzani baada ya kupiga kura

Watu wamesimama katika mstari mrefu wakisubiri kupiga kura mjini Ngozi Burundi

Rais Pierre Nkurunziza akiwasili kupiga kura mjini Ngozi, Burundi Mai 20, 2020

Wapiga kura wanawa mikono wakati wa uchaguzi mkuu mjini Gitega, Burundi

Rais Pierre Nkurunziza asubiri kupiga kura katika mji wa Ngozi, Burundi Mai 20, 2020

Mpiga kura akiweka kura yake ndani ya sanduku wakati wa uchaguzi mkuu Burundi

Wajumbe wa tume ya uchaguzi (CENI) wazungumza na wapiga kura wakati wa uchaguzi mkuu Burundi

Karibu wa-Rundi elfu tano wanashiriki katika uchaguzi mkuu wa kwanza wenye ushindani tangu kuzuka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 1998. Uchaguzi huu unafikisha ukingoni utawala wa miaka 15 wa Rais Pierre Nkurunziza.