Duru ya pili ya uchaguzi wa Tunisia umekuwa na ushindani mkali

Wagombea wawili wa kiti cha rais Tunisia Nabil Karoui (kushoto) na Kais Saied (Kulia) wakipiga kura

Mpiga kura atia kidole wino baada ya kupiga kura

Wapiga kura washiriki katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais Tunisia

Wanajeshi wanawake washika zamu nje ya kituo cha polisi

Mgombea kiti Kais Saied akipiga kura yake

Wanajeshi washika zamu nje ya kituo cha kupiga kura Tunis watu wakingia

Wapiga kura washiriki katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais Tunisia

Mgombea Nabil Karoui, mfanyabiashara apiga kura yak

Mpiga kura atumbukiza kura ndani ya sanduku la kura mjini Tunis