Wagombea 12 wa kiti cha rais visiwani Comoros wanapinga njama za utawala wa Rais Azali Assoumaniza kuiba kura na kujitangaza mshindi. Wansema sanduku za kupiga kura zilifika katika ngome za upinzani zikiwa tayari zimejazwa vyeti vya kura vilivyomchagua Azali.
Uchaguzi wa rais na magavana Comoros wagubikwa na ghasia
Your browser doesn’t support HTML5
Wagombea 12 wa kiti cha rais visiwani Comoros wanapinga njama za utawala wa Rais Azali Asoumaniza kuiba kura na kujitangaza mshindi.