Wa-Algeria waandamana kupinga Bouteflika kugombea muhula wa tano

Waandamanaji wakiwarushia polisi mawe baada ya kufyetuliwa mabomu ya kutoa machozi

Maandamano kumpinga Rais Bouteflika waAlgeria kugombania mhula wa 5

Waandamanaji mjini Algiers wakimtaka Bouteflika asigombania mhula wa 5

Walgeria wakiandamana kupinga Rais Bouteflika kugombania tena kwa mhula wa 5

Wanafunzi wakipambana na polisi wa kupambana na ghasia Algiers

Walgeria wapinga Rais Bouteflika kugombania mhula wa 5 wakiwa Marseille Ufaransa

Polisi wakiwazuia wanafunzi katika chuo kikuu cha Algiers kumpinga Bouteflika kugombania mhula wa 5

Polisi wakijaribu kuwatawanya waandamanaji mjini Algiers

Polisi na muandamanaji wamsaidia muandamanaji aliyeangukamjini Algiers

Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika, akiwa kwenye kiti cha mgonjwa mjini Algiers, Novemba 23 2017.

Wa-Algeria wanamtaka kiongozi ambaye ni mgonjwa muda mrefu Abdelazi Bouteflika, 82 kutogombania tena kiti chake. Maandamano yaliyoanzishwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Algiers tarehe 22Februari 2019 yamedumu kwa siku 11.